(1kor 10:23:: Vitu vyote ni halali, lakini si vyote vinafaa. Vitu vyote ni halali lakini si vyote vinajenga. )
Si kila, Uhalali au haki ya mambo au vitu vinavyo kuzunguka au ulivyo navyo, ni sababu ya wewe kujengeka au kufaidika.
Kuna vitu ni halali kabisa katika maisha ya mwanadamu(sio dhambi) lakini ni sababu ya wewe kuendelea kuporomoka ki Roho na kubaki katika nafasi hiyo hiyo kila wakati na huwezi kukua, bali unadumaa kila siku .Uhalali mwingine uki ung'anga'nia ni hasara na uangamivu wako. Mfano sio dhambi kuangalia movies na kukesha ukiangalia series, lakini je , Uhalali huo una faida ngapi ukilinganisha na hasara??
Imefika wakati sasa Utambue kweli hii ya Kuwa "Si Kila Kilicho Halali kwako, kinakufaa au Kina kujenga.(2016:salamu za CEO)".
~~by salamu za CEO Michael
Kweli kabisa kaka mwenyekiti. Barikiwa mno. Tunapunguza ubora sana wa kiroho kwa kufocus mambo ambayo yanaonekana kwa macho si dhambi
ReplyDeleteKweli kabisa kaka mwenyekiti. Barikiwa mno. Tunapunguza ubora sana wa kiroho kwa kufocus mambo ambayo yanaonekana kwa macho si dhambi
ReplyDelete1xbet korean bets - Legalbet
ReplyDelete1xbet korean bets. This page uses an index of 1xbet mongolia the best sportsbooks and apps in Korea, to assist users by providing an overview of the bookmaker and its